"The older I grow, the more I am convinced that there is no education which one can get from books and costly apparatus that is equal to that which can be gotten from contact with great men and women. Instead of studying books so constantly, how I wish that our schools and colleges might learn to study men and things!"
-Booker T. Washington, Up from Slavery, page 50-51

Kadri umri unavyokwenda ndivyo naamini zaidi hakuna elimu unayoweza kuipata kupitia vitabu na gharama kubwa ambayo ni sawa kama elimu unayoweza kuipata kwa kuwafahamu wanaume na wanawake bora. Badala ya kusoma vitabu tu sikuzote, natamani sana shule zetu na vyuo vyetu wajifunze kusoma watu na mambo!
-Booker T. Washington, Kutoka Utumwani - Up From Slavery