Picha: Walimu wa Elimu Yetu wakijifunza ufundi wa kioo wakitemeblea Shanga, Arusha, Tanzania
Majambo ya binadamu yana kujaa na kupwa, Yakidakwa yamejaa huongoza ushindini; yakipuuzwa, safari yote ya maisha yao haiachi maji mafu, na hujaa madhilifu.
- BURUTO katika Juliasi Kaizari, na William Shakespeare (ilitafsiriwa na Mwalimu Nyerere)
KiChina: 趁熱打鐵
KiThai: ตีเหล็กเมื่อแดง
KiHindi: लोहा गरम हैं. मार दो हथौड़ा.
KiGaelic (Ireland): buail an t-iarann te
Kiingereza: Strike while the iron is hot.
CC BY Unaruhusiwa kunakili & kusambaza mchoro huu na makala hii bila idhini, ukitaja tu chanzo (www.maktaba.org)
Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
- Methali ya Kiswahili
"Ukinipa picha, nitakupa vita."
- William Randolph Hearst
(Mwandishi wa habari na mchapishaji wa magazeti, Marekani)
Dhibiti kinywa chako kwa uangalifu ...[ILIKATA]... na ufanye moyo wako kuwa mzito(?), kwa maana neno linalosemwa ni kama ndege, naye alitamkaye ni kama mtu asiye na ...[ILIKATA]... ufundi wa maneno una nguvu zaidi kuliko ufundi wa ...[ILIKATA]...
- Hadithi ya Ahikar, Ukurasa wa 171/274
Kwa maana neno la Mungu ni hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili.
Waebrania 4:12, Biblia
Wengi wanaovaa panga huogopa kalamu.
-William Shakespeare
Tamthilia ya Hamlet, Sehemu ya 2, Onyesho la II (ukurasa wa 59)
Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
Today's weapons are pen and paper.
- Swahili proverb
You furnish the pictures and I'll furnish the war.
- William Randolph Hearst
(FRAGMENTS)
Watch carefully over thy mouth ...... and make thy heart slow(?), for the word spoken is like a bird, and he who utters it is like a man without ...
... the craft of the mouth is mightier than the craft of ......
For the word of God is quick, and powerful, and sharper than any two-edged sword.
Hebrews 4:12 (KJV)
Many wearing rapiers are afraid of goosequills.
-William Shakespeare Hamlet Act 2, scene II (page 59)
Image credit: Screenshot from 3D virtual tour of Kilwa Kisiwani created by Zamani Project
Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako, ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako
If you want to go fast, go alone, if you want to go far, go together
Rome ne fu[t] pas faite toute en un jour
from Li Proverbe au Vilain, published around 1190
Modern French: Rome ne s'est pas faite en un jour
Rome wasn't built in a day
冰凍三尺,非一日之寒
Three feet of ice is not the result of one cold day
Chan ann leis a’ chiad bhuille a thuiteas a’ chraobh
It is not with the first strike that the tree will fall
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana.’
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho.’
‘Anichaguaye mimi itambidi atoe, na pia ahatarishe chochote alicho nacho.’
‘Anichaguaye mimi itambidid atoe na pia ahatarishe cho chote alicho nacho.’
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho’.
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana!’
Kila kitu king’aacho usidhani ni dhahabu,
umekisikia hicho ni kiambo cha mababu.
Kuniona kwa nje tu, wengi wameuza utu;
Makaburi ya dhahabu yana mafunza ajabu.
Ungekuwa na werevu ulivyo na ushupavu,
kijana kiwiliwili na mzee kwa akili,
usingelistahili kulipewa jibu hili:
Basi buriani dawa; pposa umefarikiwa.
Picha: Shukran kwa Zamani Project waliounda ziara ya mtandaoni ya Kilwa Kisiwani!
Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako, ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako
Rome ne fu[t] pas faite toute en un jour
Kutoka kitabu cha Li Proverbe au Vilain kilichochapishwa takriban mwaka wa 1190
Kifaransa cha kisasa: Rome ne s'est pas faite en un jour
Maana yake: Roma haikujengwa kwa siku moja
冰凍三尺,非一日之寒
Mita ya barafu sio kwa sababu ya siku moja ya baridi
Chan ann leis a’ chiad bhuille a thuiteas a’ chraobh
Sio pigo la kwanza linaloangusha mti
[A] person can't experience everything in life from their parents: they must be ready to be taught by the world-- that is to learn from others beyond their father and mother.
Unaweza kusafiri kwa meli peke yako,
kulala au kupumzika peke yako.
Unaweza kuingia kwenye deni peke yako.
Kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya peke yako.
Lakini ni lazima muwe wawili ili kucheza tango, muwe wawili ili kucheza tango...
ايد لوحدها ماتسقفش
Mkono mmoja hauwezi kupiga makofi
Bila mtu wa pili ugomvi hauanzi
Kidole kimoja hakiuwi chawa
You can sail in a ship by yourself,
Take a nap or a nip by yourself.
You can get into debt on your own.
There are lots of things that you can do alone.
But it takes two to tango, two to tango...
ايد لوحدها ماتسقفش
One hand can't clap
Bila mtu wa pili ugomvi hauanzi
Without a second person a quarrel cannot start
Kidole kimoja hakiuwi chawa
One finger doesn't kill a louse
There's no such thing as a stupid question
Haba na haba hujaza kibaba
Little by little fills up the jar
Little drops of water,
Little grains of sand,
Make the mighty ocean
And the pleasant land.
Thus the little minutes,
Humble though they be,
Make the mighty ages
Of eternity.
Matone madogo ya maji,
Chembe kidogo za mchanga,
hutengeneza bahari kubwa
Na ardhi ya kupendeza
Vivyo hivyo zile dakika ndogo,
ingawa ni ndogo,
hutengeneza enzi za milele.
Bado tunayo hukumu hapa (duniani);
Tunafundisha tu umwagaji damu, ambayo, ukifundishwa, hurudi
ili lipiza kisasi na kumtesa mvumbuzi: mkono wa haki
huweka viungo vya kikombe chetu cha sumu
Kwa midomo yetu wenyewe. ( Makbeth Act I, Scene 7 )
Chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna ( Wagalatia 6:7 )
善有善報,惡有惡報
Wema hulipwa kwa wema, na ubaya kwa ubaya.
Wie man in den Wald hineinruft, so schallt es heraus
Unacholia msituni, kitasikika tena
We still have judgment here; that we but teach
Bloody instructions, which, being taught, return
To plague the inventor: this even-handed justice
Commends the ingredients of our poison'd chalice
To our own lips. (Macbeth Act I, Scene 7)
As you sow, so shall you reap (Galatians 6:7)
善有善報,惡有惡報
Good is rewarded with good, and evil with evil.
Wie man in den Wald hineinruft, so schallt es heraus
What you shout into the forest, will echo out again
My son, a sheep's foot in thine own hand is better than the whole shoulder in the hand of a stranger; better is a lambkin near thee than an ox far away; better is a sparrow held tight in the hand than a thousand birds flying about in the air; better is a hempen robe, that thou hast, than a robe of purple, that thou hast not.
Un tiens vaut mieux que deux tu l'auras
A here-you-go is worth more than two you-can-have-it-laters
明日の百より今日の五十
Today's 50 over tomorrow's 100
Meglio un uovo oggi che una gallina domani
Better an egg today than a hen tomorrow
"A monkey on the back is worth two in the bush."
-ChatGPT
A penny spar'd is twice got.
Senti iliyookolewa hupatikana mara mbili.
- Outlandish Proverbs by George Herbert (1640)
Matumizi ya pesa ndiyo faida zote zinayopatikana ukiwa na pesa.
Kwa pound [£] sita kwa mwaka [yaani riba] unaweza kutumia £ mia [yaani kupitia mkopo], kama unajulikana kama mwaminifu na mwenye busara.
Anayetumia groat [senti 4] kwa siku bure, hutumia pound £ zaidi ya sita kwa mwaka, ambazo ni bei ya kujipatia matumizi ya pound £ mia moja.
[Kwa hivyo] Anayepoteza muda wake wa thamani ya groat [senti 4] kwa siku, siku moja na nyingine, anapoteza fursa ya kutumia pound mia moja kila siku.
Anayepoteza muda wa shilingi tano kwa uvivu hupoteza shilingi tano, ni kama amezitupa tu baharini.
Anayepoteza shilingi tano sio tu kwamba anapoteza kiasi hicho, bali anapoteza pia faida yote ambayo ingeweza kupatikana kwa kuzitumia katika shughuli zake, ambayo, akiwa kijana, wakati wa uzee ingefikia kiasi kikubwa cha fedha.
Tena: anayeuza kwa mkopo huongeza bei ya kile anachokiuza kwa kiasi sawa riba angaliingiza na pesa hizo kwa kipindi ambacho atazikosa. Kwa hivyo, anayenunua kwa mkopo hulipa riba kwa kile anachonunua, na anayelipa pesa mara moja kwa kila anachonunua hukoa fursa ya kuzikopesha kwa wengine, kwa hivyo aliye na kitu alichonunua ameshalipa riba kwa matumizi yake.
Hata hivyo nasema kulipa mara moja unaponunua ni bora, kwa sababu anayeuza kwa mkopo anatarajia kupoteza asilimia tano ya mikopo; kwa hivyo anaongeza bei ya kile anachokiuza kwa asilimia ileile ili kuzuia hasara. Wanaolipa kwa mikopo hulipa kodi mara moja. Anayelipa kwa pesa mara moja anaweza kuzuia kodi hii
"Senti iliyohifadhiwa ni senti mbili hakika;
[haba] kwa siku ni [nne] kwa mwaka."
Mwanangu, mguu wa kondoo katika mkono wako mwenyewe ni bora kuliko bega zima katika mkono wa mwengine; Afadhali kondoo mdogo aliye karibu na wee kuliko ng'ombe aliye mbali; Afadhali shomoro aliyeshikwa mkononi kuliko ndege elfu warukao angani; vazi ulilo nalo ni afadhali kuliko vazi la zambarau usiloliona.
- Hadithi ya Ahikar (ukurasa wa 110)
Un tiens vaut mieux que deux tu l'auras
'Shika-hii-hapa" moja ina thamana kuliko 'nitakuletea-baadaye' mbili
明日の百より今日の五十
Hamsini leo ni bora kuliko mia kesho
Meglio un uovo oggi che una gallina domani
Bora yai leo kuliko kuku kesho
Picha hii imetengenezwa na akili bandia (AI)
Nikisikia nitasahau, nikiona nitakumbuka, nikifanya nitaelewa.
-Mwalimu Amos
Nyoka ana madhara.
-Mwalimu Shila
Chose promise, chose due
A thing promised is a thing owed.
Долг платежом красен, а займы отдачею.
The beauty of a debt is its payment
Alternative translation: A debt is beautiful when it is paid off, and loans when repaid.
Pacta sunt servanda
Agreements must be kept (an important principle of international law)
口說無憑
Spoken words are no guarantee.
Your word is your bond
Picha hii iliundwa kwa kutumia Akili Bandia. Unafikiriaje? Je, picha gani ingefafanua methali hii vyema?
اِصْنَعْ شَرَابًا حَلُّوا مِنْ حَامِض لَيْمُون الْحَيَاةِ
Tengeneza kinywaji kitamu kutoka kwa asidi ya limau ya maisha.
जब भी जीवन में मुश्किलें आएँ तो उनका भी लाभ उठाएँ
Matatizo yanapotokea, tumia fursa hiyo pia.
Image created using AI.
If I hear I will forget, if I see I will remember, if I do I will understand.
-Teacher Amos
A snake has real risks.
-Teacher Shila
Ulichojaliwa hakipunguzi wala haiwezi kukuongezea
Siku za mwizi ni arobaini Siku za mwizi ni arobaini
Amor fati
Penda hatma
生死有命,富貴在天
Maisha na kifo vimepangwa, utajiri na heshima [hutoka] mbinguni.
Mchoro na Caspar David Friedrich, mwaka wa 1817, "Wanderer above the Sea of Fog / Der Wanderer über dem Nebelmeer / Msafiri Juu ya Bahari ya Ukungu"
There is no danger that Titanic will sink. The boat is unsinkable.
Hakuna hatari ya Titanic kuzama. Meli hii haizamiki.
Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu
na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
ٱللَّهَ لَا يُحِبُّ مَن كَانَ مُخْتَالًا فَخُورًا
Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wanao jifakhiri
Qui fait le malin tombe dans le ravin
Mwerevu huanguka kwenye bonde
Сатана гордился, с неба свалился; фараон гордился, в море утопился; а мы гордимся - куда годимся?
Shetani alikuwa na kiburi, akaanguka kutoka mbinguni; Firauni alikuwa na kiburi, akazama baharini; na tunajivunia - tunafaa wapi?
The bigger they come, the harder they fall.
Kadiri wanavyokuwa wakubwa, ndivyo wanavyozidi kuanguka.