Publisher USAID, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Inatarajiwa kwamba muongozo huu utawasaidia wawezeshaji katika utaratibu wa kuandaa mpango wa elimu, kwa kutoa muundo thabiti na kupendekeza mazoezi ambayo wanaweza kuyatumia na kufikia muafaka. kuna mapendekezo ya nyenzo nyingi ambazo zimefanyiwa majaribio kuweza kuendana na uhalisia na lengo husika ambazo muwezeshaji anaweza kuzitumia katika utaratibu wa kuandaa mpango.
...