We support the Reading community in Arusha, Tanzania
You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Ukimwi ni Nini?
Publisher Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
sw
MASWALI YANAYO ULIZWA KUHUSU VVU NA UKIMWI Virusi vya UKIMWI (VVU) ni nini? Ni virusi vinavyo shambulia kinga ya mwili na kusababisha ugonjwa wa UKIMWI. UKIMWI NI NINI? Neno UKIMWI ni kifupisho cha Upungufu wa Kinga Mwilini: U - Upungufu wa KI - Kinga MWI - Mwilini Kuna uhusiano gani kati ya VVU na UKIMWI? Virusi Vya UKIMWI vinapoingia katika mwili wa binadamu hushambulia chembe chembe nyeupe za damu hivyo kusababisha mwili kukosa kinga yake ya asili dhidi ya magonjwa. Mwili ukipungukiwa na kinga ya asili hushambuliwa kwa urahisi na magonjwa mbalimbali, hivyo hali hiyo huitwa UKIMWI . Kumbuka: Virusi Vya UKIMWI ni chanzo na UKIMWI ni matokeo
...
Thank you to Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.