You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Kielekezi cha Ushiriki wa Mtoto
Written by
Publisher Tanzania
Published 2012
sw
Download 3.1 MB
Lengo la kielekezi hiki ni kubainisha seti sahili ya maelekezo ya mwongozo wa utekelezaji na mbinu za uwezeshaji katika kuwasiliana na watoto kwa kutumia njia shirikishi. Walengwa wa Kielekezi hiki ni mashirika, asasi na watu binafsi wa Tanzania wenye lengo la kusaidia watoto katika kuyakabili masuala yao ya msingi kupitia, kwa mfano, mambo mbalimbali yanayofanyika shuleni, katika mabaraza, kamati, vyama vya wanafunzi, au katika makundi mengine yasiyo rasmi Kielekezi hiki kimeandaliwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, jinsia na watoto, kwa msaada wa kiutaalamu kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushauriana na wadau mbalimbali wanaojishughulisha na masuala ya ushiriki wa watoto nchini.
...
Thank you to Tanzania
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all