You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Sera ya Malezi ya Taifa kwa Watoto na Vijana Tanzania
Publisher Chama cha Mapinduzi, Dodoma
Published 1987
sw
Pages 60
Download
1.2 MB
Neno malezi au tendo la kumlea mtoto lina maana pana sana na kwa binadamu huanzia wakati wa mimba, kuzaliwa, utoto , ujana hadi utu uzima. Kumlea mtoto kuna maana ya kumtoa gizani kusiko na uhakika wala usalama na kumwongoza mwangani kwenye uzoefu wa wahenga, wazazi na jamii. Kumlea mtoto vile vile kuna maana ya kumpa mahitaji ya lazima, kama vile chakula , mavazi, malazi na matibabu na kumpatia mahitaji ya burdani kama vile michezo na vifaa vya kuchezea. Kulea kuna maana ya kum tunza mtoto , kumhifadhi na kumkinga dhidi ya madhara, magonjwa na maadui ili apate kukua akiwa na afya njema ya mwili na akili na aliyetengemaa kwa maono. Malezi pia yana maana ya kumwingiza mtoto katika jamii kwa kumfundisha maadili, mila na desturi za jamii , kumjengea fadhila na mwenendo mwema unaokubalika na jamii.
...
Thank you to Chama cha Mapinduzi, Dodoma
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all