We sponsor book clubs in Arusha, Tanzania
You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Hakimu Mwenye Busara na Hadithi Nyingine
Hadithi za Msingi
Written by S. Nyaki Chibudu
Publisher General Printers Ltd. Nairobi
Published 1979
sw
Pages 50
Hiki ni kitabu cha pili katika mfululizo huu wa Hadithi za Msingi. Kusudi kubwa la kitabu hiki ni kuwapa watoto mazoezi ya kusoma na kuelewa hadithi hizi zenye busara. Katika kitabu cha kwanza kila hadithi ina funzo mwisho wako. Kitabu hiki cha pili mwalimu na mwanafunzi wanapaswa kutafuta funzo lifaalo kwa kila hadithi. Zaidi ya hivyo hiki kitabu cha pili hakin msamiati wa maneno mapya au magumu. Kwa hivyo ni juu ya mwalimu kuwafundisha watoto matumizi ya Kamusi ya Kiswahili.
...
ISBN: 9966466274
Thank you to General Printers Ltd. Nairobi
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.