Chuo cha Kwanza cha Kufanyia Hesabu

Faster download
Download
19.0 MB
This book is public domain or creative commons

Published Year: 1876

Book Thumbnail

Language: sw

Summary: Kitabu hiki kinafundisha jinsi ya kuandika hesabu na jinsi ya kujumlisha , kutoa, kuzidisha na kugawanya. Mwandishi Edward Steere (1828 - 26 Agosti 1882) alikuwa mwanatheolojia Mwanglikana kutoka Uingereza aliyepata kuwa askofu wa Zanzibar akikumbukwa kuwa kati ya Wazungu wa kwanza waliokusanya matini za Kiswahili na kutunga sarufi ya lugha hiyo.