You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
New announcements
Discussions
Proverbs

Fua chuma wakati kingali moto

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
0
Updated 5mo ago
by
View this proverb in English
Strike while the iron is hot
Umewahi kuona mhunzi akifanya kazi? Au labda ulimwoma fundi akitengeza glass (kioo)? Si ni ajabu sana? (Ukitaka kuona kwa macho yako, tembelea Shanga Foundation Arusha, au tazama videos kwenye links hapo chini - ona Rasilimali).

Katika uzoefu wetu, glasi ni ngumu, yaani haikunji kabisa. Ukitumia nguvu zako zote, kio kitavunjika mkononi mwako na kukuumiza. Lakini hakika kioo hutengenezwa kwa kuyeyusha mchanga, mabichi na laini kama udongo.

Maishani kuna mambo ambayo yanaonekana kuwa magumu, yaani hayabadiliki kabisa, hayapindi. Tukitumia nguvu zetu zote, yataharibika tu na kutuumiza. Lakini fundi mwenye ujuzi anaweza kuyafanya kuwa mepesi na laini, kwa kuyatayarisha ipasavyo, na kuchukua hatua sahihi kwa wakati ufaao.

Methali hii hutumika sana kwa maana "chukua hatua haraka fursa inapotokea, ili usiikose." Kama WaSwahili wanavyosema "Samaki mkunje angali mbichi." Ona pia There is a tide:
Majambo ya binadamu yana kujaa na kupwa, Yakidakwa yamejaa huongoza ushindini; yakipuuzwa, safari yote ya maisha yao haiachi maji mafu, na hujaa madhilifu.
- BURUTO katika Juliasi Kaizari, na William Shakespeare (ilitafsiriwa na Mwalimu Nyerere)
Hata hivyo, ikumbukwe kwenye tamthilia hii, ushauri huu ulikuwa na madhara mabaya kwake, maana Buruto hakushinda baada ya hotuba hii (soma zaidi...)

Lugha na tamaduni nyingi zina methali zinazofanana sana na hii. Labda methali hizo zina chimbuko nyingi tofauti zisizotegemeana. 

KiChina: 趁熱打鐵
KiThai: ตีเหล็กเมื่อแดง
KiHindi: लोहा गरम हैं. मार दो हथौड़ा.
KiGaelic (Ireland): buail an t-iarann te
Kiingereza: Strike while the iron is hot.

Details Picha: Walimu wa Elimu Yetu wakijifunza ufundi wa kioo wakitemeblea Shanga, Arusha, Tanzania
Sources
Shanga website (Tanzania),  Glass making at Shanga Foundation (Maktaba Instagram), Glassblowing at Shanga on YouTube
Glass (Wikipedia)
Strike while the iron is hot  (Wiktionary
Loading...
Loading...
Login to view and post comments
Hapo zamani za kale, palikuwa na binti mrembo, mkarimu, mwenye akili aliyeitwa Poshia. Wanaume wengi walitaka kumuoa na walikuja ili kuomba uchumba. Baba Poshia alikuwa amefariki dunia. Alikuwa tajiri na aliacha wosia ulioelekeza kamba yeyote aliyetaka kumuoa Poshia, lazima achague kati ya masanduku tatu: sanduku la dhahabu, sanduku la fedha na sanduku la risasi. Atakayechagua sahihi ndiye atakayeruhusiwa kumuoa Poshiia na kurithi mali zote za Baba Poshia. Siku moja, Mfalme wa Moroko alikuja ili kuomba uchumba.

Mabepari wa Venisi

Tazama ▶️ YouTube


POSHIA: Kayavute mapazia masanduku yaonekane kwake mtukufu huyu mtoto wa mfalme. Haya sasa kachague.

MOROKO: La kwanza, ni la dhahabu, lenye maandiko haya:
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana.’
Na la pili, ni la fedha, linaloahidi hivi: 
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho.’
La, tatu, risasi butu, na onyo lake ni butu:
‘Anichaguaye mimi itambidi atoe, na pia ahatarishe chochote alicho nacho.’
Nitajuaje yakuwa nimechagua vizuri?

POSHIA: Moja lina picha yangu, mzawa wa mfalme: Ukilichagua hilo basi na mimi ni wako.

MOROKO: Muungu Fulani uniongoze. Hebu nione; nitayachagua tena maandiko toka mwisho. Nitaanzia la tatu: lasemaje, la risasi?
‘Anichaguaye mimi itambidid atoe na pia ahatarishe cho chote alicho nacho.’
Itambidi atoe - atoleeni? Risasi? Na pia ahatarishe - kwa ajili ya risasi? Sanduku hili latisha: wahatarishao vyote hutumaini kupata faida iliyo nzuri: Wenye moyo wa dhahabu hawajali takataka; Kwa hiyo basi sitoi na wala sihatarishi chochote nilicho nacho kwa sababu ya risasi. La fedha lasema nini, lenye rangi ya baridi?
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho’.
Apate astahilicho! Subiri hapa, Moroko. Upime thamani yako kwa mkono wa mwadilifu: Kama ukithaminiwa vile ujifanidivyo wastahili kutosha; walakini ya kutosha inaweza isitoshe kumpata siti huyu. Bali nikitia shaka kuwa simstahili,Basi hapo nitakuwa najiumbua mwenyewe. Stahili yangu ni nini? Bila shaka ni bibie. Namstahili, hakika, kwa nasaba na kwa mali, kwa madaha na kwa sifa zote za malezi mema na kuzidi yote hayo namstahili kwa pendo. Vipi, nisiendelee, nichague papa hapa?
Hebu tuyaone tena ya sanduku la dhahabu:
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana!’
Naam, ni siti huyu; anotamaniwa kote. Toka pande zote nne za dunia wanakuja kubusu sanamu hii takatifu ilo hai: Majangwa ya Hirikani na nyika pana ajabu, za Uarabuni kote, sasa zimekuwa njia ziletazo watawala kumwona Poshia bora. Nayo dola ya bahari ambayo inapofura hutemea hata mbingu, haiwezi kuzuia nia ya wageni hao; ila wanazidi kuja, kama wavuka kijito, kumwona Poshia bora. Moja la matatu haya lina picha yake nzuri. Itawezekana kweli liwe lile la risasi? Wazo chafu kama hilo lingekuwa ni laana. Halifai japo kuwa sanda yake ya kaburini.
Au niwaze ya kuwa kawekwa ndani ya fedha? Moja ya kumi na moja ya thamani ya dhahabu? Hilo ni wazo la dhambi! Kito cha thamani hivi hakiwekeki po pote ila ndani ya dhahabu. Uingereza wanayo sarafu tu ya dhahabu, ambayo kwa juu yake imechapwa malaika. Bali hapa malaika mwenyewe hasa yu ndani ya sanduku hili hapa, na bahati nijaliwe!

POSHIA: Ni huu hapa, chukua, mzawa wa mfalme; kama sura yangu imo nimekuwa mali yako.

[Anafungua sanduku la dhahabu]
MOROKO: Mama yang! Nini hii? Ni fuu tupu la kichwa, ambalo katika jicho lina hati ma’ndiko. Nitasoma maandiko.
Kila kitu king’aacho usidhani ni dhahabu,
umekisikia hicho ni kiambo cha mababu.
Kuniona kwa nje tu, wengi wameuza utu;
Makaburi ya dhahabu yana mafunza ajabu.
Ungekuwa na werevu ulivyo na ushupavu,
kijana kiwiliwili na mzee kwa akili,
usingelistahili kulipewa jibu hili:
Basi buriani dawa; pposa umefarikiwa.
Nimefarikiwa kweli. Bure nimejitanibu. Basi buriani, joto; nawe, makiwa, karibu. Basi kwa heri Poshia. Ninayo
huzuni sana siwezi kwa heri ndefu: Ndivyo wanavyoagana watu waliopoteza.
[Aondoka na Wafuasi wake. Tarumbeta]
...
Updated 5mo ago
by
by Ibrahim Nyanda
🏆 Proverb Essay Contest
"Why is it that our village is not developed compared to other villages around us? Many young people our age from other villages have studied, and some have found their meaningful jobs in the city. Although there's a school in our village, we young people aren't doing well in school. When teachers are hired, they don’t stay long, they leave. What is there here in Bombambili?” These were the questions that the young man Akilimali asked his friend Manase while they were grazing the cattle. 

After this question, Manese seemed immersed in a great wave of thoughts ,and after considering for a while, he turned to his friend, looked at him deeply and asked him, “Do you believe in witchcraft?” Akilimali answered by nodding his head in agreement and said, “I believe, because I’ve often seen people going to witch doctors, and when they go through difficulties, they believe they've been bewitched. Don’t you remember the other day when we were told that Granny Andunje was found on the roof of old man Masanja stark naked, practicing witchcraft at night. So after that, how can I not believe, my friend?”

Manase looked at Akilimali carefully and then said to him “I want to tell you a secret that you won’t believe... Do you know your mother and your sister are witches?” Akilimali remained dumbfounded like a lizard caught in a door, and then, swelling with anger, he told Manase “Woah, hey kid, don’t start bringing me this nonsense, you stop calling my mom a witch or I’ll show you something you won’t believe with your eyes, ohoooo!!” 

Manase calmed his friend Akilimali, then told him “Wait for me to return the cows to the neighbor, then I’ll tell you the whole story. I know you’ll understand, you just chill out. “

As soon as he has returned the livestock, Manase began telling Akilimali, “My friend, I want to tell you a secret that I’ve kept for a long time. Everything you see here -- even the lack of development in the village -- it’s because of witchcraft. Every day I see your mom and your sister riding a hyaena. They pass by my mom's house, going to bewitch people...”  Manase paused a little, then continued

"You can’t believe it-- even I didn’t believe it until I was anointed with a special potion and saw them. I’ll give you this potion tonight. Apply it in your eyes and you’ll give me an answer tomorrow.”


After dinner, Akilimali was warming himself by the fire with his dad, outside their mud house thatched with grass, while his mom and sister were inside. He applied the potion as directed... and after ten minutes he saw his sister and his mom riding the hyena like a motorcycle, ready to embark on their voyage to bewitch people!


“Forgive me my friend, it was just anger.” Akilimali spoke these words choking back tears. 

“I knew it. Now you see our village is not developing and even your own mom and sister are involved. Every villager who wants to bring development ends up dead. One day they'll end up like Granny Andunje."

“I’m sure even your dad doesn’t know that your mom and sister are witches, and every day they go out to bewitch people and leave you two a magic trick to make you think they’re around. Go put that potion in your dad's eyes, then you’ll give me an answer” explained Manase. 


That evening, secretly, Akilimali explained to his dad that his sister and his mom were witches, a thing which his dad vehemently denied. 

“Mom, today Dad is watching us; look how he is staring at us,” Akilimali’s sister told their mom, riding the hyena as before, as their dad and brother were outside warming themselves as they usually did.

“I don’t think he sees us; turn the hyena so it looks like we’re heading towards them,” Akilimali’s mom said.

Akilimali says that was the last day he saw his father, because after seeing the hyena carrying his wife and daughter, he bolted like he was running the hundred-meter dash. Indeed, what you don’t know is like the darkness of the night, Akilimali was left in disbelief that all this time he lived with his mom and sister not knowing they were witches.
...
Updated 5mo ago
by
Kwa kiingereza tunasema "One man's trash is another man's treasure," maana yake, kilichotupwa na mtu mmoja, kinaweza kutumikia mwingine na kuwa na thamani kwake.

Msemo huu hutumika ili kueleza jinsi mapendeleo ya watu hutofautiana, ama kuonyesha matumaini kwamba wanadamu ni wabunifu katika masuala ya kupanga upya au kuchakata vitu vilivyotupwa na wengine.

Kwa mfano, mjasiriamali Gibson Kiwago, mwanzilishi wa WAGA Tanzania, anachakata betri za laptop ili kuleta umeme kwa nyumba na maduka. Jifunze zaidi kuhusu E-Waste (Orodha ya Kusoma)!

Dhana kwamba thamani ya kitu hutegemea mtazamo wako ipo tangu zamani. Chimbuko cha msemo huu ni methali ya Kiingereza iliyotumika karne ya 17:
One man's meat is another man's poison
Nyama na mtu mmoja ni sumu ya mtu mwengine

Je umewahi kuona thamani katika kitu kilichotupwa na mwengine?
...
Updated 5mo ago
by
Our proverb today comes from Swahili.
Ukitaka uvunguni sharti uiname
If you want something underneath [the bed] you must bend down
This proverb is usually used to encourage hard work and dedication. We can't expect to find the things we are searching for unless we are willing to looking in places that aren't easy to reach.

Here's a story that illustrates the proverb. The story is about Mulla Nasreddin, a humorous character often seen in Sufi folklore.
Mulla [Nasreddin] had lost his ring in the living room. He searched for it for a while, but since he could not find it, he went out into the yard and began to look there. His wife, who saw what he was doing, asked: “Mulla, you lost your ring in the room, why are you looking for it in the yard?” Mulla stroked his beard and said: “The room is too dark and I can’t see very well. I came out to the courtyard to look for my ring because there is much more light out here.”
-  Retold by Houman Farzad, Translated from Persian by Diane L. Wilcox (1989)

In English, a similar story is often told with a drunkard looking for money (or keys). Here is a version from the Boston Herald (1924):
[A police officer encountered a man groping about on his hands and knees]
“I lost a $2 bill down on Atlantic avenue,” said the man. “What’s that?” asked the puzzled officer. “You lost a $2 bill on Atlantic avenue? Then why are you hunting around here in Copley square?” “Because,” said the man as he turned away and continued his hunt on his hands and knees, “the light’s better up here.”

This story has come to be known as the streetlight effect in science.

Thank you to one of our members for suggesting this proverb! 🙏
Do you have a proverb to suggest? Share it here!


...

This picture was created using AI. What do you think?

Updated 5mo ago
by