Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Mtaala na Muhtasari wa Elimu ya Awali
Mchapishaji Taasisi ya Elimu Tanzania (TET)
Mwaka 2016
sw
UJUMBE KUTOKA TAASISI YA ELIMU TANZANIA : Miaka ya awali ya mtoto ni kipindi muhimu katika ukuaji na ujifunzaji wake. Katika kipindi hiki, mtoto anajenga misingi ya ujifunzaji endelevu inayomwezesha kukua kiakili, kimwili, kijamii na kimaadili. Ufanisi katika kujenga misingi hii unategemea kwa kiasi kikubwa ubora wa mtaala unaotumika katika Elimu ya Awali. Ni suala la kujivunia kuwa na mtaala wa Elimu ya Awali unaoakisi jitihada za serikali katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi nchini, kupitia sekta ya elimu kama inavyobainishwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025. Natumaini kuwa maudhui ya mtaala huu yatamwongoza mtumiaji katika kumwezesha mtoto kujenga umahiri muhimu utakaomsaidia kujifunza na kujitawala. Ninafahamu kuwa tunaishi katika jamii inayobadilika ambayo mahitaji yake pia hutegemea mabadiliko ya sayansi, teknolojia na vigezo vya kiuchumi. Hivyo mtaala huu utahakikiwa na kuboreshwa pindi inapobidi ili uweze kuendana na mabadiliko hayo
...
ISBN: 978 - 9976 - 61- 431 - 2
Shukrani kwa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET)
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all